Logo
Chapisha ukurasa huu

بسم الله الرحمن الرحيم

[إِلَّا تَنفِرُوا۟ يُعَذِّبْكُمْ عَذَابًا أَلِيمًۭا وَيَسْتَبْدِلْ قَوْمًا غَيْرَكُمْ]

"Kama hamwendi atakuadhibuni adhabu chungu, na atawaleta watu wengine, wala nyinyi hamtamdhuru chochote. Na Mwenyezi Mungu ni Muweza wa kila kitu." [At-Tawba: 39]

Mnamo tarehe 31 Machi 2025, jeshi la Kiyahudi lilitoa maagizo makubwa ya kuwahamisha watu wa Rafah na maeneo ya karibu. Enyi majeshi ya Waislamu! Adui yenu ametangaza kukoleza vita, na bado hamujajiunga na vita, baada ya miezi kumi na nne! Haaman, jemadari wa Firauni dhalimu wa Misri, sasa yuko Motoni, pamoja na jeshi lake. Kuwatii madhalimu si udhuru mbele ya Mwenyezi Mungu ﷻ. Wapunguzieni majeshi mizigo ya Mafirauni wa leo. Mteueni Khalifa Rashid na musonge kuinusuru Gaza. Au munasubiri kuungana na Haaman na jeshi lake? Au mnangoja kubadilishwa na wale wanaomcha Mwenyezi Mungu pekee?

#Time4Khilafah

Imetolewa na Afisi ya Habari ya Hizb ut Tahrir katika Wilayah Pakistan

Jumapili, 04 Shawwal 1446 H sawia na 02 Aprili 2025 M

#طوفان_الأقصى

#الجيوش_إلى_الأقصى

#الأقصى_يستصرخ_الجيوش

#AksaTufanı

#OrdularAksaya

#ArmiesToAqsa

#AqsaCallsArmies

Kwa Maelezo zaidi, Zuru Mitandao ya Hizb ut Tahrir / Wilayah Pakistan

 Tovuti Rasmi: Hizb ut Tahrir / Wilayah Pakistan

 Facebook: Hizb ut Tahrir / Wilayah Pakistan

Twitter: Hizb ut Tahrir / Wilayah Pakistan

Template Design © Joomla Templates | GavickPro. All rights reserved.