Logo
Chapisha ukurasa huu

بسم الله الرحمن الرحيم

Hizb ut Tahrir / Wilayah Pakistan: Wito Uelekezwe kwa Kambi za Kijeshi na Ulinganizi wa Kuwaondoa Madarakani Watawala!

Mnamo tarehe 3 Aprili 2025, Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu ilitangaza kwamba “inalaani vikali uvamizi unaoendelea na unaozidi kuongezeka wa Israel.” Shirika hilo linajisifu kama “sauti inayounganisha ulimwengu wa Kiislamu.” Lakini watu wa Gaza hawahitaji “sauti,” bali vitendo kutoka kwa majeshi ya Waislamu. Kwa uhalisia, watawala wa Waislamu wanafanya kazi tu ili kuimarisha nguvu ya umbile la Kiyahudi: Bin Salman analipa mafuta na anaweka daraja la ardhi kwa ajili yake. Na Mfalme Abdullah analipatia daraja la anga. Erdogan hutuma meli za kibiashara kwenye bandari za umbile hilo. Al-Sisi anakaza mzingiro wa kukatisha hewa kwenye Gaza. Jenerali Asim Munir analiwekea vikwazo jeshi la saba kwa ukubwa duniani, akilizuia kuwanusuru wanyonge. Wakati umefika sasa wa chemichemi ya kweli ya Umma, na hiyo ndiyo chemichemi ya majeshi yake. Simameni, enyi Umma wa Muhammad, rehema na amani ziwe juu yake, na simameni, enyi kizazi cha Khalid bin al-Walid, Mungu amuwiye radhi! Wapindueni watawala, simamisheni Khilafah Rashida kwa njia ya Utume, na komboeni Msikiti uliobarikiwa wa Al-Aqsa.

#Time4Khilafah

Imetayarishwa na: Afisi ya Habari ya Hizb ut Tahrir katika Wilayah Pakistan

Jumatatu, 09 Shawwal Al-Khair 1446 H sawia na 07 Aprili 2025 M

#طوفان_الأقصى

#الجيوش_إلى_الأقصى

#الأقصى_يستصرخ_الجيوش

#AksaTufanı

#OrdularAksaya

#ArmiesToAqsa

#AqsaCallsArmies

Kwa Maelezo zaidi, Zuru Mitandao ya Hizb ut Tahrir / Wilayah Pakistan

 Tovuti Rasmi: Hizb ut Tahrir / Wilayah Pakistan

 Facebook: Hizb ut Tahrir / Wilayah Pakistan

Twitter: Hizb ut Tahrir / Wilayah Pakistan

Template Design © Joomla Templates | GavickPro. All rights reserved.