Logo
Chapisha ukurasa huu

بسم الله الرحمن الرحيم

Hizb ut Tahrir / Wilayah Tunisia:

Kisimamo cha Izza cha Kuadhimisha Kumbukumbu ya Mapinduzi

Mwaliko wa kushiriki katika kisimamo cha izza kilichoandaliwa na Hizb ut Tahrir / Wilayah Tunisia ili kuadhimisha kumbukumbu ya mapinduzi chini ya kauli mbiu “Mapinduzi Yanaendelea... Kuelekea Khilafah Rashida,” mnamo Jumatano, 14 Januari 2025, katika Barabara ya Al-Thawra.

Jumatano, 25 Rajab 1447 H sawia na 14 Januari 2026 M

Kwa Maelezo Zaidi Tafadhali Zuru Mitandao ya Hizb ut Tahrir / Wilayah Tunisia:

Tovuti Rasmi ya Hizb ut Tahrir / Wilayah Tunisia

Tovuti Rasmi ya Jarida la Tahrir

Ukurasa wa Facebook wa Jarida la Tahrir

Imebadilishwa mara ya mwisho mnamoJumatano, 14 Januari 2026 08:01
Template Design © Joomla Templates | GavickPro. All rights reserved.