Hizb ut Tahrir / Uholanzi: Semina kwa Anwani “Vipaumbele vya Umma”
- Imepeperushwa katika Uholanzi
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Hizb ut Tahrir / Uholanzi ilifanya semina katika mji wa Utrecht wa Uholanzi kwa anwani "Vipaumbele vya Umma"
Hizb ut Tahrir / Uholanzi ilifanya semina katika mji wa Utrecht wa Uholanzi kwa anwani "Vipaumbele vya Umma"
Kitengo cha wanawake cha Hizb ut Tahrir / Wilayah Tunisia kimezindua kampeni pana yenye kichwa:
“Usekula Unawahadaa Watoto Wetu na Wokovu wao uko Mikononi Mwetu”
Hizb ut Tahrir katika Ardhi Iliyobarikiwa (Palestina) iliandaa kisimamo cha halaiki katikati mwa Msikiti uliobarikiwa wa Al-Aqsa, ambapo kupitia kwacho ilitoa wito kwa majeshi ya Umma wa Kiislamu kujibu hujma ya Mayahudi dhidi ya Msikiti wa Al-Aqsa uliobarikiwa na kuchafuliwa kwake, na kupandisha bendera ya umbile lao liliopotoka katika viwanja vyake na matusi yao kwa Mtume (saw).
Ujumbe wa dharura wa Mhandisi Ismail Al-Wahwah (Abu Anas) Mwenyezi Mungu amrehemu
Maoni ya Habari ya Afisi ya Habari ya Hizb ut Tahrir katika Wilayah Pakistan.
Kwa Mabadiliko ya Kweli... Kataeni demokrasia... Simamisheni Khilafah.
Afisi Kuu ya Habari ya Hizb ut Tahrir inafuraha kuwapa wafuasi na wageni wake kwenye tovuti za Afisi Kuu ya Habari DVD yake mpya
Hizb ut Tahrir/Amerika itaandaa Kongamano la kila mwaka la Khilafah kwa mwaka huu wa 2023 chini ya kichwa:
"Migogoro na Njia panda... Udharura wa Uislamu Kuuokoa Ulimwengu"
Risala zilizotolewa na kundi la wabebaji Da’wah zilizoelekezwa kwa Hay’at Tahrir Ash-Sham (HTS) baada ya kuvamia nyumba za wabebaji Dawah na kuwakamata mashababu kadhaa wa Hizb ut Tahrir katika Wilayah Syria kwa njia ya kishenzi, ukiukaji utukufu, katika mandhari ya kutisha iliyo mbali na maadili ya Uislamu na Waislamu.
Ulinganizi wa Kiulimwengu Sehemu ya 62 – Khilafah Rashida kwa Njia ya Utume
Hizb ut Tahrir / Wilayah Pakistan ilizindua kampeni kwenye mitandao ya kijamii kwa kichwa "Katika kumbukumbu ya miaka 11 ya kutekwa nyara kwake.. Mwacheni Huru Naveed Butt!"