Hizb ut Tahrir / Uholanzi: Semina Jijini Amsterdam “Gaza Yalilia Msaada!”
- Imepeperushwa katika Uholanzi
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Kwa kuzingatia mauaji ya kikatili (mauaji ya halaiki) ambayo yamekuwa yakiendelea kwa zaidi ya miezi 18, yanayofanywa na umbile halifu la Kiyahudi dhidi ya Waislamu wasio na ulinzi katika Ukanda wa Gaza uliozingirwa, ambayo yamesababisha kuuawa shahidi, kujeruhiwa, na kupoteza zaidi ya wanaume na wanawake wa Kiislamu 180,000 hadi sasa, Hizb ut Tahrir, Uholanzi iliandaa semina katika mji mkuu wa Uholanzi, Amsterdam yenye kichwa: “Gaza Yalilia Msaada!”