Tanzia ya Mbebaji Ulinganizi Dada Lamya bint Bashar
- Imepeperushwa katika Yemen
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Mnamo Jumatano tarehe 12 Dhu al-Qa‘dah 1447 H sawia na tarehe 28 Aprili 2026 M, dada mwema, mbebaji da’wah aliyefanya kazi kwa ajili ya kusimamisha Khilafah Rashidah ya pili kwa njia ya Utume, mwanachama katika Hizb ut Tahrir / Wilayah Yemen, Dada Lamya bint Bashar alifariki.



