Je, haijatosha Kwenu kuwa Wanyonge na Watiifu?!
- Imepeperushwa katika Kitengo cha Wanawake Afisi Kuu ya Habari
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Katika siku ya 220 ya uvamizi wa umbile la Kiyahudi dhidi ya Ukanda wa Gaza, mashambulizi ya angani yaliendelea kwenye kambi ya Jabalia kaskazini mwa Ukanda wa Gaza.