Alhamisi, 23 Dhu al-Hijjah 1446 | 2025/06/19
Saa hii ni: (M.M.T)
Menu
Main menu
Main menu

Pongezi kwa Idd Al-Adha Iliyobarikiwa 1446 H

Hizb ut Tahrir inatoa pongezi na baraka nyingi zaidi kwa Umma wetu mpendwa wa Kiislamu, wenye subira na wenye kukubali malipo licha ya maafa na majanga yote unaopitia, maafa na majanga ambayo ni mzigo mzito hata kwa kundi lililo imara zaidi la wanadamu, hususan watu wetu wenye subira mjini Gaza na katika Ardhi Iliyobarikiwa ya Palestina, katika Sikukuu ya Idd ul-Adha. Tunamuomba Mwenyezi Mungu azijaalie siku za Idd hii kuwa ni utulivu katika nyoyo zao na wanyanyuliwe daraja mbele ya Mola wa walimwengu wote.

Soma zaidi...

Hizb ut Tahrir/ Wilayah Pakistan: Jeshi la Anga la Pakistan lazima liongoze kampeni ya anga (Operesheni Kimbunga cha Al-Aqsa) dhidi ya umbile la Kiyahudi na Makruseda!

Jeshi la India lilithibitisha kwa mara ya kwanza mnamo 31 Mei 2025 kwamba lilikuwa limepoteza idadi isiyojulikana ya ndege za kivita katika mapigano na Pakistan mnamo Mei mwaka jana. Enyi mwewe wa nchi hii safi! Umbile la Kiyahudi linafanya mauaji makubwa dhidi ya watoto wetu, dada na babu zetu, na hamkusonga! Kwa fadhila na upendeleo wa Mwenyezi Mungu ﷻ, muna uwezo wa kuongoza “Vita Vikuu vya Angani” dhidi ya vikosi vya kikatili vya Netanyahu na Trump.

Soma zaidi...

Hizb ut Tahrir / Wilayah Lebanon: Matembezi ya Takbir, Tahlil, na Tahmid 1446 H

Hizb ut Tahrir/Wilayah Lebanon iliandaa maandamano ya Takbir, Tahlil, na Tahmid katika mji wa Tripoli, Syria, chini ya kauli mbiu "Tuko Pamoja nawe, ewe Gaza, tukipiga Takbir na Tahmid," kwa mnasaba wa ujio wa siku kumi za kwanza za Dhul-Hijjah 1446 H – 2025 M Idd al-Adha iliyobarikiwa. Matembezi hayo yalihitimishwa kwa dua ya kugusa moyo ya Sheikh Ahmed Al-Shamali.

Soma zaidi...

Vifungu vya Tovuti

Viunganishi

Magharibi

Ardhi za Waislamu

Ardhi za Waislamu