Afisi Kuu ya Habari: Kitengo cha Wanawake “Iokoeni Masra!”
- Imepeperushwa katika Habari ya Dawah
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Kitengo cha Wanawake katika Afisi Kuu ya Habari ya Hizb ut Tahrir: “Iokoeni Masra!”
Kitengo cha Wanawake katika Afisi Kuu ya Habari ya Hizb ut Tahrir: “Iokoeni Masra!”
Je, ni nini maana ya kauli za Trump zenye kusitasita—kutoa Iran masaa 48, kisha siku 5, kisha siku 10—na pendekezo lake la mpango wenye nukta 15? Namna gani ujanja wa kauli, nyingi kutoka kwa Trump na chache kutoka kwa Iran, na tangazo la televisheni ya Iran kukataa pendekezo la Trump? Matokeo ya hayo yote ni nini?
Tumepokea habari za kifo cha dada mwema Gamze Gürsoy / Zahra Malik (mwanachama wa Kitengo cha Wanawake katika Afisi Kuu ya Habari); kwani Mwenyezi Mungu alimchukua asubuhi ya leo, Ijumaa, 09 Shawwal 1447 H, sambamba na 27/03/2026 M.
Pongezi za Kitengo cha Wanawake kwa Mnasaba wa Ujio wa Idd ul-Fitr Iliyobarikiwa 1447 H
Al-Waqiyah TV: Pongezi za Kundi la Wabebaji Da’wah kwa Mnasaba wa Idd ul-Fitr Iliyobarikiwa 1447 H
Baada ya kuchunguza mwezi mwandamo wa Shawwal katika usiku huu mtukufu, usiku wa Alhamisi, kuonekana kwa mwezi mwandamo kumethibitishwa kwa kuonekana halali kisharia katika baadhi ya nchi za Waislamu. Kwa hivyo, kesho Alhamisi itakuwa siku ya kwanza ya mwezi wa Shawwal na siku ya kwanza ya Idd al-Fitr iliyobarikiwa.
Afisi Kuu ya Habari ya Hizb ut Tahrir inafurahi kuwasilisha kwa wafuasi na wageni wanaozuru kurasa za Afisi Kuu ya Habari DVD mpya katika lugha sita yenye kichwa: “Amali za Kimataifa za Hizb ut Tahrir katika Kumbukumbu ya Kuvunjwa Khilafah 1447 H – 2026 M”
Amerika na umbile la Kiyahudi walizindua shambulizi kubwa la pamoja dhidi ya Iran siku ya Jumamosi, huku milipuko ikitikisa mji mkuu, Tehran, na miji mingine kadhaa, ikiwemo Qom, Isfahan, Kermanshah, na Karaj. “Rais wa Marekani Donald Trump alitangaza kuanza kwa shambulizi dhidi ya Iran, akisema, “Tumeanza tu operesheni kubwa za mapigano nchini Iran.” Channel 12 ya ‘Israel’ iliripoti kwamba “Israel” ilishambulia shabaha kadhaa za serikali ya Iran.”
Trump Mtawala wa Kiimla na Mtoto wake, Umbile la Kizayuni, Wameanzisha Shambulizi la Kikatili dhidi ya Iran