Jumatatu, 10 Ramadan 1446 | 2025/03/10
Saa hii ni: (M.M.T)
Menu
Main menu
Main menu

Trump na Mfuasi wako Netanyahu: Macho Yako Yamepofushwa

“Mapema leo, Rais Trump wa Marekani alithibitisha mpango wake wa Marekani kuchukua udhibiti wa Gaza na kuwafukuza Wapalestina, akisema kwamba amejitolea kuinunua na kuimiliki Gaza. Kauli hii ilitolewa na Trump mnamo Jumapili jioni ndani ya ndege ya Air Force One alipokuwa akielekea New Orleans kuhudhuria Super Bowl." (BBC, 10/2/2025) Baadaye, wakati wa mkutano wake na Mfalme wa Jordan, alisema: "Wapalestina wataishi kwa usalama mahali pengine, nje ya Gaza, na ninaelewa kwamba tuna uwezo wa kufikia suluhisho,"

Soma zaidi...

Jibu la Swali: Kuongezeka kwa Uhasama nchini Sudan

Al Arabiya Net ilichapisha kwenye tovuti yake mnamo tarehe 4/2/2025: "Jeshi na vikosi vyake vya usaidizi viliingia katika maeneo ya kusini-mashariki ya Jimbo la Khartoum wakati wa saa zilizopita, wakitokea Jimbo la Al-Jazeera.." na tovuti ya Youm7 ilichapishwa mnamo tarehe 2/2/2025: "Mwandishi wa Kituo cha Habari cha Cairo aliripoti katika habari mpya zinazochipuka kwamba jeshi la Sudan linachukua idadi kadhaa ya vijiji mashariki mwa mto Nile katika Jimbo la Khartoum." Kabla ya hapo, mnamo tarehe 11/ 1/2025, Vikosi vya Msaada wa Haraka vilishindwa na jeshi la Sudan katika mhimili wa Jimbo la Al-Jazeera na mji mkuu wake, Wad Madani, “na kamanda wa Vikosi vya Msaada wa Haraka, Hemeti, alikiri katika kanda ya sauti iliyohusishwa naye kwamba vikosi vyake vilishindwa katika Jimbo la Al-Jazeera...” (Al-Jazeera 1/13/2025).

Soma zaidi...

Afisi Kuu ya Habari ya Hizb ut Tahrir: Kitengo cha Wanawake: “Enyi Mujahidina wa Ash-Sham! Wacha iwe kwa Ajili ya Mwenyezi Mungu!

Video hii pia inazungumzia jinsi ushindi na mafanikio ya kweli kwa nchi ya Syria na kwengineko yanaweza kupatikana tu kupitia kuziondolea ardhi zetu mabaki yote ya uingiliaji kati na utawala wa wakoloni - ikiwemo vipengele vyote vya mfumo wao wa kisiasa na imani, na kuikumbatia ruwaza ya kweli ya Kiislamu iliyo huru. Hili linaweza kupatikana tu kwa kutekeleza Sheria na Mfumo wa Mwenyezi Mungu (swt) kwa ukamilifu chini ya kivuli cha Khilafah kwa njia ya Utume.

Soma zaidi...

Jibu la Swali: Uhamishaji wa Watu wa Gaza

Al Jazeera ilichapisha kwenye tovuti yake mnamo tarehe 26/1/2025: “Rais wa Marekani Donald Trump alisema kwamba anaishinikiza Jordan, Misri na nchi nyingine za Kiarabu kupokea wakimbizi zaidi wa Kipalestina kutoka Gaza, baada ya vita vya Israel dhidi ya Ukanda huo kusababisha mgogoro wa kibinadamu. Alipoulizwa ikiwa hili lilikuwa pendekezo la muda au la muda mrefu, Trump alisema, “Inaweza kuwa hili au lile.”

Soma zaidi...

Vifungu vya Tovuti

Viunganishi

Magharibi

Ardhi za Waislamu

Ardhi za Waislamu