Mauaji Mapya mjini Gaza: Uungwana wa Ummah Utaamshwa Lini?!
- Imepeperushwa katika Uchambuzi
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Licha ya kuongezeka kwa wito wa kusitisha vita vya Mayahudi mjini Gaza, jeshi la Mayahudi linaendelea kumwaga damu ya watu wasio na hatia katika kambi za watu waliokimbia makaazi yao huko Khan Yunis, kusini mwa Ukanda wa Gaza, na kufanya mauaji mengine ili kuongeza rekodi yake nyeusi.