Jumamosi, 25 Dhu al-Hijjah 1446 | 2025/06/21
Saa hii ni: (M.M.T)
Menu
Main menu
Main menu

Kauli zilizotolewa na Waziri Mkuu Nawaf Salam kuhusu Hamu yake ya Kuhalalishwa Haraka kwa Mahusiano na Mayahudi Haziwawakilishi Waislamu kwa vyovyote vile! Badala yake, zinamwakilisha yeye na wale waliomleta madarakani. Kauli hizi ni khiyana kwa Mwen

Katikati ya angahewa Amerika inaenea katika eneo hili kupitia kwa rais wake Trump, akitoa wito wa amani na Mayahudi, na kwa mujibu wa Makubaliano ya Abraham yaliyokuja wakati wa ziara yake ya kuchukiza katika eneo hilo, na kujisalimisha kwa watawala wa Kiarabu na Waislamu kwenda sambamba na ajenda hii, hadi kufikia kiwango ambacho mbora zaidi kati yao anaweza kusema ni "tutakuwa wa mwisho kuhalalisha mahusiano na Mayahudi", katika muktadha huu wa Mahojiano Waziri Mkuu wa Lebanon Nawaf Salam wakati wa mahojiano na Mtandao wa CNN, yaliyochapishwa mnamo 30/5/2025, ambapo alisema: "Uhalalishaji mahusiano ni sehemu muhimu ya amani tunayotaka kuona kesho, sio kesho kutwa!"

Soma zaidi...

Kuchochea Migogoro ya Kimadhehebu ni Mtazamo Uliofichuliwa wa Mayahudi katika Kushinikiza Mauaji na Suala la Kuhama Makao!

Mauaji nchini Lebanon yanaendelea tangu Mayahudi walipoanza uvamizi wao wa kikatili na wa kinyama dhidi yake na watu wake kwa jumla, na dhidi ya watu wa kusini haswa, hadi idadi ya wahasiriwa nchini Lebanon ikazidi 3200, na idadi ya waliojeruhiwa ikafikia 14,000, na karibu watu milioni 1.2 wamelazimika kuyahama makaazi yao, katika sera inayotekelezwa na adui huyu mnyakuzi nchini Lebanon, na alifanya hivyo hapo awali na anaendelea kufanya vitendo hivi katika Ukanda wa Gaza unaoheshimika kwa zaidi ya mwaka mmoja!

Soma zaidi...

Lakini wakiomba msaada kwenu katika Dini, basi ni juu yenu kuwasaidia

Kwa muda wa miezi saba, Gaza imeangamizwa kwa mikono ya Mayahudi chini ya macho ya watawala vibaraka na wakoloni wao wa Magharibi, haswa Marekani. Hawakuridhika na Gaza; wakaanza na Rafah, wakiibomoa juu ya vichwa vya watu wake na wale waliohamishwa huko kutoka Gaza na sekta yake. Marekani, anayeitwa mtetezi wa binadamu, anawaunga mkono kwa kusema: “Ipigeni mabomu Rafah, lakini kwanza, waondoeni watu wa kaskazini mwa Gaza na muwarudishe makwao!”

Soma zaidi...

Mashambulizi ndani kabisa ya Lebanon! Yako wapi Mamlaka ya Kisiasa na Vyombo vyake kuhusiana na Stahiki zake?! Je, Uvumilivu wa Kimkakati wa Mhimili Bado haukwisha?!

Mashambulizi ya mabomu ya Lebanon ya wale waliokasirikiwa - Mayahudi - yamekuwa ya mara kwa mara kila siku, na hata kuathiri miji mikubwa kama Sidoni, Tyre, na Nabatieh, baada ya kufungika kwenye vijiji vya mpakani, kuua na kujeruhi watu walio salama katika maeneo hayo na mijini.

Soma zaidi...

Mamlaka ya Dayton mjini Ramallah na Mamlaka ya Lebanon Zinakwenda Ndani ya Ajenda ya Marekani ili Kuondoa na Kumaliza faili ya Kambi!

Tangu mwanzo wa matukio katika Kambi ya Ain al-Hilweh mwishoni mwa Julai 2023, Hizb ut Tahrir/Wilayah ya Lebanon alitoa toleo mnamo 31/7/2023 lenye kichwa: Hali ya Kikanda, uchoraji mipaka ya ardhi! Kuweka matayarisho katika kambi ya Ain al-Hilweh kwa ajili ya vita na operesheni za usalama” Miongoni mwa yale yaliyotajwa ndani yake ni kwamba "uamuzi ulifanywa ili kujumuisha mambo yaliyotawanyika ya harakati ya Fatah ndani ya kambi na kuregesha udhibiti kwa Mamlaka ya Dayton, ambayo inashikilia uratibu wa usalama "takatifu ", juu ya kambi.

Soma zaidi...

Hali ya Kikanda, uchoraji mipaka ya ardhi! Kuweka matayarisho katika kambi ya Ain al-Hilweh kwa ajili ya vita na operesheni za usalama

Majed Faraj, mkuu wa Huduma Kuu ya Ujasusi katika Mamlaka ya Palestina, aliwasili mnamo 24/7/2023 na kukutana na uongozi wa ngazi ya juu nchini Lebanon. Iliripotiwa kwamba aliomba mkutano na Ziyad Nahaleh, Katibu Mkuu wa harakati ya Jihad ya Kiislamu, ambaye alikataa mkutano huo na kuishia kwa mazungumzo ya simu.

Soma zaidi...

Vifungu vya Tovuti

Viunganishi

Magharibi

Ardhi za Waislamu

Ardhi za Waislamu