Serikali ya “Matumaini” Yageuka Jinamizi kwa Wananchi kwa Kuporomoka kwa Pauni ya Sudan!
- Imepeperushwa katika Sudan
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Katika hotuba yake baada ya kula kiapo cha kuwa Waziri Mkuu, Kamil Idris alisema: “Kauli mbiu yetu ni matumaini, na dhamira yetu ni kufikia usalama, ustawi, na maisha ya utulivu kwa kila raia wa Sudan!” Katika taarifa yake ya kwanza kwa vyombo vya habari, alitangaza kuwa atatoa muda na juhudi zake kuhakikisha maisha ya heshima kwa kila Msudan.