Kuamiliana na Ulimwengu Huku Nyoyo Zetu Zikimuona Mwenyezi Mungu (swt)
- Imepeperushwa katika Uchambuzi
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Moja ya shutuma wanayoitoa Wamagharibi dhidi ya Waislamu ni kuwa kwao nyuma katika maendeleo ya sayansi. Kinyume chake, Wamagharibi wanatoa, na wanaendelea kutoa, mchango mkubwa katika sayansi.
Maendeleo ya kisayansi na uvumbuzi yamegundua siri kama vile siri za falaki kwa wanaadamu ambazo hazikujulikana kabla.
Elimu ni kusudio msingi la jamii yetu hivi leo. Ni moja ya Malengo muhimu ya Maendeleo Endelevu ya Umoja wa Mataifa, kufikiwa kwake ni shabaha ya takriban kila mtu duniani kote.
Ndio Bw. Blair! Licha ya Ajenda Karne Nzima ya Wamagharibi ya Kuigawanya Mashariki ya Kati; Mustakbali Hauna Shaka Utakuwa ni Uislamu Ulioamuliwa na Ummah
Mapambano baina ya Haki na Batil yamekuwepo tokea Adam (as) alipoumbwa na yatakuwepo hadi Siku ya Hukumu.
Kwa kuwa ushuhuda wa Waislamu wanne wa wema wa Muislamu unatosha kumuingiza peponi, Naveed Butt ana ushuhuda kama huo kutoka kwa maelfu ambao wameingiliana naye kibinafsi.
Tutafuteni Radhi za Mwenyezi Mungu (swt) Katika Kila Jambo, Tutimize Lengo Lake Kama Mwenyezi Mungu (swt) Alivyotuamrisha
Vidonda vyenye kuchuruzika damu mwilini mwa Umma wa Kiislamu ni vingi na vinaongezeka kwa kukosekana kwa ngao ya ulinzi na mlezi Khalifah; mojawapo ni janga la Waislamu wa Sri Lanka.