Hizb ut Tahrir / Wilayah Sudan: Khutba ya Idd Al-Fitr 1443 AH - 2022 M
- Imepeperushwa katika Sudan
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
“Utiifu kwa Wenye Mamlaka katika Kuanza Kufunga na Kufungua Saumu”
“Utiifu kwa Wenye Mamlaka katika Kuanza Kufunga na Kufungua Saumu”
Waziri Mkuu wa India, Narendra Modi, atafanya ziara rasmi nchini Denmark Mei 3 - 4. Atakula chakula cha jioni na Malkia pamoja na kushiriki katika mkutano wa kilele wa Indo-Nordic, ulioandaliwa na Waziri Mkuu wa Denmark, Mette Frederiksen.
Hizb ut-Tahrir / Wilayah Syria iliandaa maandamano katika kijiji cha Babika viungani mwa Aleppo, kisimamo kwa anwani “Mauaji ya Kitongoji cha Al-Tadhamun ni Mfano Mdogo wa Mauaji ya Suluhisho la Kisiasa la Amerika na Azimio 2254!”
Hizb ut Tahrir / Wilayah Uturuki iliandaa programu nyingi za iftar katika miji mikubwa zaidi ya 20 kote nchini Uturuki kwa kuwashirikisha wawakilishi wa vyama vya kisiasa, waandishi habari, vyombo vya habari na mashirika yasiyo ya kiserikali.
Katika muendelezo wa amali za umma zilizoandaliwa na Hizb ut Tahrir/Wilayah Sudan, ili kuuamsha Umma wa Kiislamu na kuimarisha azma yake ya kusimamisha Dola ya Khilafah Rashida upya,
Kwa kuzingatia hali ya wasiwasi katika Ardhi Iliyobarikiwa (Palestina) ya mashambulizi ya mara kwa mara ya umbile la Kiyahudi lililouteka nyara Msikiti uliobarikiwa wa Al-Aqsa na kuuzingira kwake na mashambulizi ya mabomu ya kuendelea kwa muda wa miaka 16 kwenye Ukanda wa Gaza,
Hizb ut-Tahrir / Wilayah Syria iliandaa maandamano katika kijiji cha Sahara viungani mwa Aleppo, kisimamo cha kuwanusuru na kuwaombea nusra watu wa Ardhi Iliyobarikiwa (Palestina) na msikiti wa Al-Aqsa Uliobarikiwa ulio mateka kwa anwani “Masaibu Yenu ni Masaibu Yetu na Damu Zenu ni Damu Zetu!”
Mnamo tarehe 15 Ramadhan 1443 H, katika Ukumbi wa Jiji la Dosa, Hizb ut Tahrir/Wilayah Sudan ilifanya iftar ya Ramadhan ya kila mwaka, iliyohudhuriwa na mkusanyiko mkubwa wa wanasiasa, wanahabari, wanazuoni,
Hizb ut-Tahrir / Wilayah Syria iliandaa maandamano katika kijiji cha Babika viungani mwa Aleppo, kisimamo cha kuwanusuru na kuwaombea nusra watu wa Ardhi Iliyobarikiwa (Palestina) na msikiti wa Al-Aqsa Uliobarikiwa ulio mateka kwa anwani “Ukombozi wa Al-Aqsa Unaanzia kwa Kuiangusha Serikali na Kusimamisha Khilafah!”
Mnamo Mei 11, 2022 M, itakuwa imepita miaka kumi tangu mbebaji mradi wa Khilafah, Mhandisi Naveed Butt, msemaji rasmi wa Hizb ut Tahrir katika Wilaya ya Pakistan,