Hizb ut Tahrir / Wilayah Tunisia: Matembezi “Musiitelekeze Rafah kama Mulivyoitelekeza Gaza!”
- Imepeperushwa katika Tunisia
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Matembezi ya 31 mfululizo, tangu kuanza kwa vita vya Kimbunga cha Al-Aqsa, yalianza mbele ya Msikiti wa Al-Fatah katika mji mkuu wa Tunis, ambayo yaliitishwa na Hizb ut-Tahrir/Wilayah Tunisia, kwa watu wa Al-Zaytouna, na kichwa chake kilikuwa“Musiitelekeze Rafah kama Mulivyoitelekeza Gaza!”