Wilayah Syria: Maandamano ya Wanawake ya Idlib "Inusuruni Daraa"
- Imepeperushwa katika Syria
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Kitengo cha Wanawake cha Hizb ut Tahrir / Wilayah Syria kiliandaa maandamano katika mji wa Idlib kwa anwani "Inusuruni Daraa!"
Kitengo cha Wanawake cha Hizb ut Tahrir / Wilayah Syria kiliandaa maandamano katika mji wa Idlib kwa anwani "Inusuruni Daraa!"
Kitengo cha wanawake katika Hizb ut Tahrir / Wilayah Syria kiliandaa maandamano katika kijiji cha Sahara viungani mwa Aleppo kwa anwani "Inusuruni Jabal Al-Zawiya na Daraa na Mfungue Vita na Muiangushe Serikali!"
Maandamano yaliyo andaliwa na watu waliohamishwa makaazi ya Houran Mjini Kafar Takharim viungani mwa Idlib baada ya swala ya Ijumaa kwa anwani "Nusra kwa Watu wa Daraa ni Mboni ya Jicho!"
Mnamo 07/10/2001 M, Amerika, kinara wa ukafiri, na mshirika wake Uingereza walianzisha vita vya kinyama dhidi ya Waislamu, waliishambulia kwa mabomu miji ya Afghanistan ya: Kabul, Kandahar, Jalalabad na mengineyo na makombora ya Tomahawk, na kurusha makombora na aina anuwai za silaha.
Kisimamo katika kijiji cha Sahara viungani mwa Aleppo kwa anwani "Daraa Kutoka kuwa ni Kaa la Moto Chini ya Majivu Hadi kuwa ni Moto Wenye Kuwaunguza Matapeli!"
Silaha za kisasa za majeshi waoga wa Amerika hazikulingana na Waislamu wenye silaha duni ambao hawakumuogopa yeyote isipokuwa Mwenyezi Mungu (swt), huku wakitamani kuuawa mashahidi au ushindi.