Wilayah Syria: Wanawake wa Ash-Sham Wanaupa Kongole Umma wa Kiislamu kwa Siku ya Arafah na Idd ul-Adha Al-Mubarak na Kuyaomba Nusra Majeshi ya Waislamu!
- Imepeperushwa katika Syria
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Rufaa kutoka mashababu wa Hizb ut Tahrir katika eneo la A'zaz kupinga uhalifu wa kukamatwa kwa wabebaji ulinganizi katika mji wa Idlib mikononi mwa kundi la Hay’at Tahrir Al-Sham.
Hizb ut Tahrir / Wilayah Syria katika mji wa Al-Atareb viungani mwa Halfa iliandaa kisimamo baada ya swala ya Ijumaa kwa anwani: "Kwa Watu Wetu wa Daraa; Silaha Yenu ni Heshima Yenu Basi Jihadharini na Kuisalimisha!"
Hizb ut Tahrir / Wilayah Syria iliandaa kisimamo katika kambi za Atma Magharibi mkabala na kijiji cha Ataa kwa anwani: "Hakika Limekwisha Semwa na Watu Wetu Huko Hauran;Tutazisalimisha Roho na Wala Hatutazisalimisha Silaha!"
Hizb ut Tahrir / Wilayah Syria iliandaa kisimamo katika mkusanyiko wa kambi za Atma Magharibi viungani mwa Idlib,
Hizb ut Tahrir / Wilayah Syria iliandaa kisimamo katika kambi za Deir Hassan viungani mwa Idlib baada ya swala ya Ijumaa ikiyataka makundi kufungua eneo la pwani ili kuiangusha serikali ya mhalifu.
Hizb ut Tahrir / Wilayah Syria iliandaa kisimamo baada ya swala ya Ijumaa katika kambi ya Ataa iliyo katika mkusanyiko wa kambi za Al-Karame viungani mwa Idlib kikitoa wito kwa vikundi kufungua eneo la pwani ili kuiangusha serikali ya mhalifu.