Jumatatu, 23 Shawwal 1446 | 2025/04/21
Saa hii ni: (M.M.T)
Menu
Main menu
Main menu

Hizb ut Tahrir / Wilayah Syria Maandamano ya Kijiji cha Kafra "Hakuna Mbadala katika Kuiangusha Serikali na Kusimamisha Utawala wa Uislamu"

Katika kumbukumbu ya miaka kumi na moja ya Mapinduzi Matukufu, Hizb ut-Tahrir / Wilayah Syria iliandaa maandamano katika kijiji cha Kafra viungani mwa Azaz, kwa anwani "Hakuna Mbadala katika Kuiangusha Serikali na Kusimamisha Utawala wa Uislamu!".

Soma zaidi...

Hizb ut Tahrir / Wilayah Syria Maandamano ya Deir Hassan "Hakuna Mbadala katika Kuiangusha Serikali na Kusimamisha Utawala wa Uislamu"

Katika kumbukumbu ya miaka kumi na moja ya Mapinduzi Matukufu, Hizb ut-Tahrir / Wilayah Syria iliandaa maandamano katika kijiji cha Deir Hassan viungani mwa Idlib, kwa anwani "Hakuna Mbadala katika Kuiangusha Serikali na Kusimamisha Utawala wa Uislamu!".

Soma zaidi...

Wilayah Syria: Ripoti ya Video ya Warsha ya Atma "Mabomu ya hivi majuzi... Je! Matumaini ya Kurudi Yamepotea?"

Ripoti ya video ya Warsha iliyoandaliwa na Hizb ut Tahrir / Wilayah Syria katika mji wa Atma viungani mwa Idlib kama sehemu ya msururu wa warsha zilizoandaliwa eneo la kaskazini mwa Syria lililokombolewa ili kueneza utambuzi wa kisiasa kati ya watu, na zilikuwa kwa anwani:

Soma zaidi...

Wilayah Syria: Kisimamo cha Barabara Kuu ya Idlib / Bab Al-Hawaa "Ewe Daraa, Tusamehe (Lakini wakiomba msaada kwenu katika Dini, basi ni juu yenu kuwasaidia) [Al-Anfaal: 72]"

Hizb ut Tahrir / Wilayah Syria iliandaa kisimamo katika barabara kuu ya Idlib / Bab Al-Hawaa, baada ya swala ya Ijumaa, kwa anwani "Ewe Daraa, Tusamehe (Lakini wakiomba msaada kwenu katika Dini, basi ni juu yenu kuwasaidia) [Al-Anfaal: 72]"

Soma zaidi...

Wilayah Syria: Maandamano ya Kijiji cha Dabeq"Ewe Daraa, Tusamehe (Lakini wakiomba msaada kwenu katika Dini, basi ni juu yenu kuwasaidia) [Al-Anfaal: 72]"

Hizb ut Tahrir / Wilayah Syria iliandaa maandamano katika kijiji cha Dabeq viungani mwa Aleppo Kaskazini, baada ya swala ya Ijumaa, kwa anwani "Ewe Daraa, Tusamehe (Lakini wakiomba msaada kwenu katika Dini, basi ni juu yenu kuwasaidia) [Al-Anfaal: 72]"

Soma zaidi...

Minbar ya Ummah: Kisimamo cha Kulaani katika Mkusanyiko wa Al-Karama "Mdhamini wa Kituruki ni Kuisalimisha Ardhi na Kumwaga Damu"

Kisimamo cha kulaani katika mkusanyiko wa Al-Karama - viungani mwa Idlib chini ya anwani "Mdhamini wa Kituruki ni Kuisalimisha Ardhi na Kumwaga Damu" dhidi ya mauaji ya kidhulma na kiuadui ya mtoto "Ridhwan Sattam Al-Obaid" na askari wa Kituruki.

Soma zaidi...

Vifungu vya Tovuti

Viunganishi

Magharibi

Ardhi za Waislamu

Ardhi za Waislamu