Alhamisi, 26 Shawwal 1446 | 2025/04/24
Saa hii ni: (M.M.T)
Menu
Main menu
Main menu

Urithi wa Biden - Sheria ya Ulinzi wa Ndoa za Jinsia Moja

Joe Biden alitia saini Sheria ya Kuheshimu Ndoa. Mswada wa kulinda haki ya watu wa nchi hiyo kuingia katika ndoa za watu wa jinsia moja na watu wa rangi tofauti uliungwa mkono na wawakilishi wa pande zote mbili katika Bunge la Seneti, kwa mujibu wa makala "Rais wa Marekani Atia Saini Sheria ya Kulinda Ndoa za Jinsia Moja" katika tovuti ya DW.

Soma zaidi...

Haitoshi kuwa na Mkuu wa Jeshi ambaye ni Hafidh wa Quran Mkuu wa Jeshi lazima awe Munafidh (Mtekelezaji) wa Quran

Kamanda wa Kamandi Kuu ya Marekani (CENTCOM), Jenerali Michael Erik Kurilla, alimuita Mkuu wa Majeshi ya Pakistan (COAS), Jenerali Syed Asim Munir, mnamo tarehe 15 Disemba 2022. Mkuu huyo wa CENTCOM alifahamishwa kuhusu "kukabiliana na ugaidi" pamoja na mpaka wa Pakistan na Afghanistan.

Soma zaidi...

Tamthilia ya Kuamua Kima cha chini cha Mshahara Imeanza!

Ratiba ya mikutano ya kazi ya kuamua Kima cha chini cha Mshahara imekuwa wazi. Tume ya Uamuzi wa Kima cha Chini cha Mshahara, inayojumuisha mwajiriwa, mwajiri na wawakilishi wa serikali, itafanya mkutano wake wa kwanza mnamo Disemba 7 na mkutano wa pili mnamo Disemba 14 ili kuamua kima cha chini cha mshahara cha mwaka 2023.

Soma zaidi...

Ndani ya Ubepari Usalama wa Chakula ni Mazigazi

Kuna mkanganyiko miongoni Wakenya wengi ya kuwa je ilikuwa ni busara kwa uamuzi wa serikali wa kuondosha marufuku ya vyakula vinavyotokana na mazao ya kisaki (GMO). Katika taifa ambalo kila mwaka hukumbwa na uhaba wa chakula unaosababishwa na mambo kadhaa ikiwemo ukame uliosababisha mamilioni ya Wakenya kukabiliwa na baa la njaa kila mwaka, dhana iliyoko ni kwamba vyakula vya GMO ni hatari kwa afya ya mwanadamu na katika kuendesha vyema kilimo.

Soma zaidi...

Kombe la Dunia la Qatar linaonyesha kwamba Ummah wa Kiisilamu uko katika bonde moja, Huku watawala wake wenye Kuhalalisha Mahusiano wako Bonde Jengine

“Mwanadiplomasia wa Kiyahudi alionyesha wasiwasi wake juu ya kukosekana uhalalishaji mahusiano na makubaliano ya amani, yaliyotiwa saini na umbile la Kiyahudi pamoja na baadhi ya watawala wa nchi za Kiarabu, na watu wa nchi hizo. Ilionekana wazi katika Kombe la Dunia nchini Qatar kwamba watu wanakataa uhalalisha mahusiano na mvamizi huyo.”

Soma zaidi...

Vifungu vya Tovuti

Viunganishi

Magharibi

Ardhi za Waislamu

Ardhi za Waislamu