Zimbabwe Inahitaji Mabadiliko ya Kimsingi Kutokana na Mfumo wa Kibepari na Sio Sarafu Pekee
- Imepeperushwa katika Habari na Maoni
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Benki Kuu ya Zimbabwe hivi karibuni imezindua sarafu mpya ya dhahabu inayoitumainia kutokamana nayo itapunguza mahitajio ya pesa za kigeni.