Ijumaa, 27 Shawwal 1446 | 2025/04/25
Saa hii ni: (M.M.T)
Menu
Main menu
Main menu

Rais wa Palestina Mahmoud Abbas Aomba Kutambuliwa na Ushiriki na Umbile Halifu la Kiyahudi katika Baraza la Umoja wa Mataifa

Tarehe 23 Septemba 2022, Mahmoud Abbas, rais wa Mamlaka ya Palestina alikariri ombi lake la kutaka Dola ya Palestina kuwa mwanachama kamili wa Umoja wa Mataifa, na kuonya kuhusu kufifia matarajio ya amani na Israel, katika hotuba yake kwa Baraza Kuu mnamo Ijumaa.

Soma zaidi...

Shambulizi la Kitambulisho kwa Vijana wa Kashmir

Mnamo tarehe 24 Septemba 2022 Muttahida Majlis-e-Ulema (MMU), muungano wa makundi ya kidini na kijamii katika Bonde la Kashmir, mnamo Jumamosi walisema majaribio yalikuwa yanaendelea "kuhujumu kitambulisho cha Waislamu wa Kashmir". MMU ilipanga mkutano katika Msikiti wa Jama wa Srinagar ili kujadili hatua za hivi majuzi za kuanza kuimba nyimbo za Kibaniani na Surya Namaskar katika taasisi za elimu za Bonde hilo.

Soma zaidi...

Vifungu vya Tovuti

Viunganishi

Magharibi

Ardhi za Waislamu

Ardhi za Waislamu