Wilayah Syria: Maandamano ya Wanawake ya Idlib "Inusuruni Daraa"
- Imepeperushwa katika Syria
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Kitengo cha Wanawake cha Hizb ut Tahrir / Wilayah Syria kiliandaa maandamano katika mji wa Idlib kwa anwani "Inusuruni Daraa!"
Kitengo cha Wanawake cha Hizb ut Tahrir / Wilayah Syria kiliandaa maandamano katika mji wa Idlib kwa anwani "Inusuruni Daraa!"
Kitengo cha wanawake katika Hizb ut Tahrir / Wilayah Syria kiliandaa maandamano katika kijiji cha Sahara viungani mwa Aleppo kwa anwani "Inusuruni Jabal Al-Zawiya na Daraa na Mfungue Vita na Muiangushe Serikali!"
Afisi Kuu ya Habari: Kalima ya Dkt. Nazreen Nawaz kwa Mnasaba wa Kuja kwa Mwezi wa Baraka wa Ramadhan 1442 H
Al-Waqiyah TV: Silsila "Kalima katika Kumbukumbu ya Karne Moja ya Kuvunjwa kwa Khilafah!"
Mwezi wa Rajab mwaka huu ni kumbukumbu ya tukio la kusikitisha katika historia ya Ummah wa Kiislamu, miaka 100 ya Hijria tangu kuanguka kwa dola yake tukufu na uongozi wake wa Kiislamu: Khilafah mikononi mwa adui wa Uislamu Mustafa Kemal na serikali za kikoloni za Magharibi.
Afisi Kuu ya Habari: Kitengo cha Wanawake "Udhalilifu Huu Utaendelea Mpaka Lini Enyi Ummah wa Kiislamu"!
Kitengo cha wanawake katika Afisi Kuu ya Habari ya Hizb ut-Tahrir kimezindua kampeni pana ya kunyanyua utambuzi wa kiulimwengu juu ya dhulma kubwa na ukiukaji ambao Waislamu wanakabiliwa nao nchini Sri Lanka,
Wilayah ya Tunisia: Kisimamo cha Kitengo cha Wanawake mbele ya Bunge, "Imetosha Kuchochea dhidi ya Hukmu za Sharia kwa kutumikia Ajenda za Kigeni."