Swala Zimesimamishwa jijini Dushanbe kwa sababu ya Ziara ya Putin
- Imepeperushwa katika Habari na Maoni
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Kuanzia Oktoba 7 hadi 12, misikiti kadhaa jijini Dushanbe itasimamisha kwa muda swala za jamaa. Kulingana na Idara ya Mambo ya Ndani ya jiji hilo, vikwazo hivyo vinatekelezwa “kuhusiana na matukio muhimu yanayotokea katika jiji hilo,” akimaanisha ziara rasmi ya Rais wa Urusi Vladimir Putin.



