“Makubaliano” Yaliyo Kuwa Katika Uchungu wa Uzazi Sasa Yamezaa Serikali ya Diab! Mawaziri Kutoka Tabaka la Kisiasa Waliingizwa Kupitia Kila Mlango!
- Imepeperushwa katika Lebanon
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Kwa takribani siku mia moja, watu wanaandamana mabarabarani wakitaka kuporomoka kwa nidhamu fisidifu na kuondolewa kwa tabaka fisadi la kisiasa, kwa kutumia kauli mbiu "Wote Humaanisha Wote", msemo wa umma wa kupinga chama chochote kinacho wakilisha tabaka fisadi la kisiasa nchini humu.