Komesheni Upatilizaji Wenu wa Vidonda vya Ummah wa Uislamu
- Imepeperushwa katika Kitengo cha Wanawake Afisi Kuu ya Habari
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Ulinzi wa Raia wa Syria ulisema kwamba idadi ya kambi za wasio na makao ambazo zimeharibiwa na mvua na theluji katika Gatuzi la Idlib (kaskazini magharibi mwa Syria) zimeongezeka hadi kambi 225, ikiashiria kwamba idadi ya familia ambazo sasa hazina makao imefikia familia 3,200.



