Serikali nchini Jordan Inakabiliwa na Migogoro Mfululizo, Yenye Kukaba Koo
- Imepeperushwa katika Jordan
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Katika siku za hivi karibuni, watu walifuatwa na msururu wa matukio yaliyoanza Jumamosi 4/3/2021, yakidai kwamba usalama na utulivu wa serikali umefichuliwa kwa njama, ambayo ilisababisha kampeni ya ukamataji na kutolewa kwa taarifa zilizoambatana na kuibuka kwa uvujaji na kisha watu wa katikati.