Mheshimiwa Al-Hajj Muhammed Naeem Muhammed Hasan (Abu Usamah Zukarnah) Mmoja wa Mashababu wa Hizb ut Tahrir
- Imepeperushwa katika Jordan
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Kwa nyoyo zenye subira na matarajia mema, Hizb ut Tahrir / Wilayah ya Jordan inamuomboleza mbebaji da’wah, mmoja wa Mashababu wake wema, safi na mchamungu, na wala hatumtakasi yeyote mbele ya Mwenyezi Mungu, kutoka kizazi cha kwanza cha Hizb ut Tahrir, Al-Ustadh mwema: