Vipi Khilafah Itakavyo Sitisha Ukoloni ndani ya Ardhi za Waislamu
- Imepeperushwa katika Khilafah
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Leo kuna zaidi ya dola hamsini za Waislamu, zote zikidai kuwa Uislamu ndio dini yao na chimbuko la utambulisho wao. Dola zote hizi daima ziko katika mchakato wa kujenga na kujenga upya matumaini ya kufaulu katika malengo ya maendeleo yaliyowekwa na Wamagharibi.



