Bila ya Mlinzi au Msaidizi... Umbile la Kiyahudi Linaifanyia Ukatili Jenin kwa Kuua na Uharibifu
- Imepeperushwa katika Palestina
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Tangu jana usiku, umbile la Kiyahudi limefanya mashambulizi makubwa dhidi ya Jenin na kambi yake, kwa kutumia droni, vifaru vya kivita na magari makubwa ya kijeshi. Pia limetuma mamia ya wanajeshi hadi Jenin katika uadui wake unaoendelea hadi sasa