Mfumo wa Kiulimwengu wa Khilafah
- Imepeperushwa katika Khilafah
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Kuna mfadhaiko ulio halali kwa Waislamu wa Pakistan kwa upuuziaji wa watawala wao kuhusiana na uchumi na usalama.
Kuna mfadhaiko ulio halali kwa Waislamu wa Pakistan kwa upuuziaji wa watawala wao kuhusiana na uchumi na usalama.
Mnamo 3 April 2021, Waziri wa Sayansi na Teknolojia wa Pakistan, Fawad Chaudhry aliandika nukuu ya tweet “Mwezi wa Ramadhan utaonekana wazi jioni ya April 13 kwenye maeneo ya Lahore, Islamabad na Peshawar na katika miji mengine na funga itaanza April 14.”
Wito wa Khilafah Kutuunganisha ni wa Kiulimwengu Hivi Sasa; Ikiashiria Kurudi Kwake Kuwa Dola Kuu Inshaallah
Katika miaka 100 iliopita, ardhi za Waislamu hazikujua chochote isipokuwa kiza, vifo, maangamizi, ufukara na kukata tamaa. Mauwaji, mateso, ukandamizaji, ufidhuli na maafa yamefumwa kwenye msingi wa maisha ya watu katika eneo hili.
Kwa zaidi ya karne kumi na tatu, Ulimwengu wa Kiislamu ulishughulikia suala hili.
Khilafah ni Kivuli cha Mwenyezi Mungu (swt) Juu ya Ardhi Ilioleta Faraja Kwa Karne Nyingi Kutokana na Udhalimu na Ni Pekee Itakayoleta Tena Inshaallah
Mamia ya miaka imepita tokea kuvunjwa kwa ngao ya Ummah, Khilafah. Tokea muda huo, makafiri wakoloni wamekuwa wakifanya kazi usiku na mchana kuzuia kurudi tena kwa Khilafah.
Miaka 100 imepita tokea tarehe 28 Rajab ya 1342 H, ambapo Khilafah ya Uthmaniya, iliokuwa mrithi wa Dola ya Kiislamu iliyoasisiwa na Mtume wa Mwenyezi Mungu (saw) katika Madinatul Munawwarah, kuvunjwa.
Miaka 100 ya Ufisadi, Mporomoko, Vita, Uharibifu na Tabu
Miaka 100 Tangu Kuvunjwa kwa Khilafah: Unafanya Nini Kuirudisha?