Minbar ya Ummah: Maandamano katika Kambi za Deir Hassan Kumnusuru Mtume wa Mwenyezi Mungu (saw)
- Imepeperushwa katika Syria
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Minbar ya Ummah: Maandamano katika Kambi za Deir Hassan Kumnusuru Mtume wa Mwenyezi Mungu (saw)
Minbar ya Ummah: Maandamano katika Kambi za Deir Hassan Kumnusuru Mtume wa Mwenyezi Mungu (saw)
Hizb ut Tahrir / Wilayah Tunisia iliandaa visimamo viwili vya kumnusuru Mtume wa Mwenyezi Mungu (saw), kupinga vita vya kimsalaba vilivyoongozwa na Ufaransa dhidi ya Uislamu,
Ardhi Iliyobarikiwa (Palestina): Visimamo vya Halaiki Kumnusuru Mtume Mtukufu (saw)
Halaiki ya watu wa mji wa Idlib iliandaa maandamano ya kumnusuru Mtume wa Mwenyezi Mungu (saw) chini ya anwani "Tunakuitikia Ewe Mtume wa Mwenyezi Mungu".
Minbar ya Ummah: Maandamano katika Mji wa Idlib Kumnusuru Mtume wa Mwenyezi Mungu (saw)
Halaiki ya watu wa kijiji cha Deir Hassan viungani mwa Idlib ilijitokeza katika maandamano ya kumnusuru Mtume wa Mwenyezi Mungu (saw) chini ya anwani "Tunakuitikia Ewe Mtume wa Mwenyezi Mungu".
Halaiki ya watu wa kijiji cha Felon ilijitokeza katika maandamano ya usiku kumnusuru Mtume wa Mwenyezi Mungu (saw) chini ya anwani: "Tunakuitikia Ewe Mtume wa Mwenyezi Mungu".
Hizb ut Tahrir / Wilayah Sudan iligawanya toleo katika mji mkuu, Khartoum, na miji mingi ya Sudan, mnamo Jumanne 13/10/2020, na toleo hilo lilikuwa na anwani:
Kujitokeza kwa halaiki ya watu wa viunga vya Hama Kaskazini na Idlib Kusini katika maandamano katika mkusanyiko wa kambi za Al-Karameh,
Hizb ut Tahrir / Wilayah Sudan ilifanya kikao chake cha kila mara cha Kadhia za Umma kwa anwani "Usaidizi wa Bidhaa na Huduma Baina ya Ukusanyaji na Uchungaji" mnamo Jumamosi, 1 Rabi' Al-Awwal 1442 H sawia na 17/10/2020 – saa tano asubuhi.