Hizb ut Tahrir / Wilayah Tunisia: Matembezi “Enyi Umma wa Kiislamu na Majeshi Yake Fanyeni Mapinduzi dhidi ya Watawala Waovu wala Msiwategemee wao”
- Imepeperushwa katika Tunisia
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Hizb ut Tahrir / Wilayah ya Tunisia iliandaa matembezi yenye kichwa “Kutoka Tunis Hadi Gaza... Takbira za Idd zinayahamasisha Majeshi ya Waislamu!” baada ya swala ya Ijumaa kutoka Msikiti wa Al-Fatah katika mji mkuu.