Hizb ut Tahrir/ Wilayah Pakistan: Ni Wakati Sasa wa Ushindi!
- Imepeperushwa katika Pakistan
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Hizb ut Tahrir/ Wilayah Pakistan:
Ni Wakati Sasa wa Ushindi!
Hizb ut Tahrir/ Wilayah Pakistan:
Ni Wakati Sasa wa Ushindi!
Kisimamo kwa Anwani “Mapinduzi Hayatainama, Ewe Fidan, hata kama Yatasalitiwa na Wasaliti Elfu Moja”
Kwa Mabadiliko ya Kweli… Kataeni demokrasia... Simamisheni Khilafah.
Hizb ut Tahrir/ Wilayah Pakistan: Waturuki ni Watu Watukufu!
Hizb ut Tahrir / Bangladesh yaandaa kongamano kwa kichwa:
“Hotuba kwa Umma na Ulinganizi Maalum kwa Maafisa Wanyoofu wa Majeshi!”
Hizb ut Tahrir / Wilayah ya Tunisia, iliandaa "Matembezi ya Ukombozi" kwa kichwa “Sisi Sio kwamba ni Watu Tunaowahurumia Watu wengine, bali Sisi ni Umma Mmoja” kuyataka majeshi ya Waislamu yataharaki kuwanusuru Waislamu wanyonge katika Ardhi Iliyobarikiwa (Palestina) na kukomboa Msikiti uliobarikiwa wa Al-Aqsa na Palestina yote inayokaliwa kimabavu kuanzia mto wake hadi bahari yake kutokana na makucha ya Mayahudi wauwaji wahalifu.
Maoni ya habari ya Afisi ya Habari ya Hizb ut Tahrir katika Wilayah Pakistan.
Kwa Mabadiliko ya Kweli… Kataeni demokrasia... Simamisheni Khilafah.
Hizb ut Tahrir nchini Uingereza iliandaa kongamano kubwa kwa kichwa:
“Jibuni Wito: Ikomboeni Palestina!”
Hizb ut Tahrir / Wilayah ya Uturuki iliandaa makongamano makubwa ya halaiki katika miji na maeneo Hamsini chini ya kichwa:
“Ujasiri wa Upinzani dhidi ya Ukaliwaji Kimabavu!”
Kwa kuzingatia matendo ya kishujaa yaliyofanywa na Mujahidina mashujaa katika Ardhi Iliyobarikiwa (Palestina) chini ya kauli mbiu ya (Kimbunga cha Al-Aqsa) dhidi ya umbile nyakuzi la Kiyahudi ambalo liliendelea na mashambulizi yake dhidi ya Msikiti uliobarikiwa wa Al-Aqsa na uzingiraji na upigaji mabomu wa kuendelea wa Ukanda wa Gaza kwa miaka 17