Hizb ut Tahrir / Uholanzi: Muhadhara kwa kichwa, “Mabadiliko ya Tabia Nchi na Mtazamo wa Uislamu”
- Imepeperushwa katika Uholanzi
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Muhadhara ulifanywa na Hizb ut Tahrir / Uholanzi siku ya Jumapili ya 1 Machi, 2020 M kwa kichwa, “Mabadiliko ya Tabia Nchi na Mtazamo wa Uislamu” kwa sababu za Mabadiliko ya tabia nchi tunayo shuhudia na uhalisia wa sasa wa namna ambavyo Magharibi imeleta athari mbaya katika mabadiliko ya tabia nchi.