Je Malengo ya NEMC Ni Kupiga Marufuku Adhana Zinazotumia Vipaza Sauti?
- Imepeperushwa katika Habari na Maoni
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Je, Malengo ya NEMC Ni Kupiga Marufuku Adhana Zinazotumia Vipaza Sauti?
Je, Malengo ya NEMC Ni Kupiga Marufuku Adhana Zinazotumia Vipaza Sauti?
Mnamo tarehe 12 Mei, Waziri wa Hazina wa Marekani Janet Yellen aliandika: 'Endapo Bunge la Congress halitaongeza kiwango cha deni, tutakabiliwa na janga la kiuchumi na kifedha. Ni muhimu sana tuhakikishe kuwa hili linafanyika." Yellen ni mwanauchumi mwenye uzoefu ambaye hapo awali alikuwa mwenyekiti wa 15 wa Hizina ya Marekani. Alirudia onyo lake mnamo Mei 15:
“Leo, demokrasia yetu inaning’inia,” alisema Khan katika hotuba yake ya kwanza ya hadhara tangu kuachiliwa huru kwake, akiwataja wale waliomwandama kama “mafia”. Hotuba yake haikupeperushwa kwenye runinga. (The Guardian)
Balozi wa zamani wa Marekani katika Umoja wa Mataifa, Zalmay Khalilzad alinukuu tweet, "Pengine maafa yanaweza kuepukwa, lakini ikiwa tu mambo 2 yatatokea. Mkuu wa Jeshi Munir anahitaji kujiuzulu, na uchaguzi lazima kutangazwa kwa tarehe maalum. Bila ya la kwanza, la pili haliwezekani. Bila hatua hizi mzozo wa kiuchumi, kisiasa na usalama wa Pakistan utazidi kuwa mbaya.” (The Tweet)
Katika wiki za hivi karibuni, vyombo vya habari vya Uingereza vimeangazia matumizi ya ‘ubaguzi wa rangi kama chambo chakisiasa’ na mawaziri mbalimbali katika serikali ya Uingereza ili kupata uungwaji mkono kutoka kwa wapiga kura wa mrengo wa kulia na chuki dhidi ya wapiga kura wenye asili ya kigeni.
Miaka 12 baada ya ghasia nchini Syria, Jumuiya ya Waarabu yakaribia kuukubali utawala wa Syria kuregea katika kundi la shirika hilo. Hili limeidhinishwa haswa na tawala za Saudia na Imarati, ambazo zimeshinikiza shirika hilo kuirudisha serikali ya Syria.
Gesi ya Bahari Nyeusi, iliyogunduliwa katika uwanja wa gesi wa Sakarya na ni mojawapo ya miradi muhimu ya nishati katika historia ya Uturuki, ililetwa ufuoni kwa mara ya kwanza kwenye Kiwanda cha Kuchakata Gesi Asilia cha Filyos.
Aprili 26: Mkuu wa Kamati ya Mambo ya Vijana na Michezo ya Tajikistan Abdullo Rakhmonzoda, alikashifu wanablogu wenye ndevu katika mkutano mmoja wa ndani akisema kwamba "upigiaji upatu wa ndevu katika mitandao ya kijamii unatishia usalama wa taifa"."Harakati iliyopigwa marufuku ya Taliban, ambayo ilipindua serikali ya watu nchini Afghanistan, sasa inapigia debe ndevu kwa bidii.
Je, Bw Kemal na wafuasi wake wanapata wapi maagizo yao? Kutoka kwa magaidi huko Kandil. Na sisi tunapokea maagizo kutoka kwa Mwenyezi Mungu. Je, mnamo tarehe 14 Mei, tuko tayari kuwazika wale wanaochukua maagizo kutoka mlimani? Sina shaka na hilo.
Polisi wa Kenya walimkamata mwinjilisti wa televisheni wa Kenya mwishoni mwa Aprili, 2023 na kufikishwa mahakamani Ijumaa tarehe 28 Aprili 2023 baada ya ripoti za "mauaji ya halaiki ya wafuasi wake," Waziri wa Mambo ya Ndani Kithure Kindiki alisema, huku mamlaka zikichunguza vifo vyengine vingi vinavyohusishwa na ibada za kundi la kidini kutoka eneo hilo hilo.