Je, Tuangalie Neno Lako au Matendo Yako?
- Imepeperushwa katika Habari na Maoni
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Shambulizi la bomu lilitokea katika mtaa wa Taksim Istiklal jijini Istanbul mnamo tarehe 13 Novemba na kuua watu 6 na kujeruhi vibaya watu 81, 2 kati yao wakijeruhiwa vibaya. "Hatukubali, tunakataa rambirambi za Ubalozi wa Marekani" alisema Waziri wa Mambo ya Ndani, Suleyman Soylu, ambaye alitoa kauli baada ya shambulizi hilo.