Alhamisi, 26 Shawwal 1446 | 2025/04/24
Saa hii ni: (M.M.T)
Menu
Main menu
Main menu

Qatar ni nchi ya Kisekula na Kamwe Haitapiga Marufuku Unywaji Pombe katika Kombe lake la Dunia

Shirikisho la Soka la Kimataifa (FIFA) lilitangaza kuwa vinywaji vyenye vileo havitauzwa katika viwanja vinane vitakavyoandaa mechi za Kombe la Dunia la 2022 nchini Qatar.

Vinywaji vya vileo vilipaswa kuandaliwa “katika maeneo yaliyotengwa ndani ya viwanja vya michezo,” ingawa uuzaji wao unadhibitiwa vikali katika dola hiyo ya Ghuba ya Kiislamu.

Soma zaidi...

Mfumo wa Kibepari wa Kiulimwengu Unaoongozwa na Marekani, pamoja na Maamuzi na Taasisi zake za Kimataifa, Daima Zitaiweka Pakistan Utumwani

Akisikiliza maregeleo ya rais kuhusu mradi wa mgodi wa shaba na dhahabu wa Reko Diq mnamo tarehe 2 Novemba 2022, Jaji Munib Akhtar, aliitaja faini ya Kituo cha Kimataifa cha Usuluhishi wa Mizozo ya Uwekezaji (ICSID) ya dolari bilioni 6.5 dhidi ya Pakistan kama "bomu la nyuklia," kwani linaweza kuchukuliwa popote duniani kwa ajili ya utekelezwaji.

Soma zaidi...

 Ajali ya Ndege ya Precision Inadhihirisha Hali ya Kutojali kwa Ubepari

Ndege ya Precision aina ya ATR42-500 (twin turboprop) yenye usajili 5H-PWF, na kumbukumbu ya safari PW494 ikiwa na abiria 43 safarini kutoka Dar es Salaam kwenda Bukoba, mkoani Kagera ilianguka ndani ya Ziwa Victoria ndani ya Bukoba siku ya Jumapili 06 Novemba 2022 kiasi cha saa 2.53 asubuhi. Ajali hiyo ilipelekea kufariki dunia watu 19 kama ilivyothibitishwa na shirika la Precision lenyewe, na pia kuthibitishwa na Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania.

Soma zaidi...

Wale Wanaotawala na Wanaotaka Kuutawala Ummah Wanatafuta Dhamana ya Mustakbali wao Ubavuni mwa Mabwana zao wa Magharibi

Uturuki: Mwenyekiti wa Chama cha Republican People's Party Kemal Kilicdaroglu alikwenda London, mji mkuu wa Uingereza, kufanya msururu wa ziara. Wakati wa ziara yake nchini Uingereza, Kilicdaroglu alikutana na duara na wawekezaji wa sayansi na teknolojia.

Soma zaidi...

Mfumo wa Kidemokrasia wa Kirasilimali Huzalisha tu Wanasiasa Majanga Pekee

WAZIRABAD: Waziri Mkuu wa zamani na mwenyekiti wa chama cha Pakistan Tehreek-e-Insaf (PTI) Imran Khan na viongozi wengine kadhaa wa PTI walijeruhiwa baada ya mtu mmoja kufyatua risasi karibu na kambi ya mapokezi ya PTI huko Allahwala Chowk wakati wa maandamano marefu ya chama hicho, ARY News iliripoti mnamo Alhamisi.

Soma zaidi...

Kombe la Dunia nchini Qatar: Dosari ya Kihistoria

Katika siku chache, timu ya taifa ya kandanda ya Denmark itasafiri hadi Qatar kuiwakilisha Denmark katika Kombe la Dunia 2022. Wachezaji wa Denmark watacheza wakiwa na nguo nyeusi, ambazo zitaashiria bendi ya maombolezi ambayo inaashiria kutoridhika na serikali nchini Qatar na ambayo inaashiria kwamba Denmark anahudhuria mazishi.

Soma zaidi...

Ndugu Mkongwe zaidi Kuachiliwa Huru kutoka Guantanamo

Shirika la habari la NPR liliripoti kwamba mfungwa mzee zaidi katika Guantanamo Bay aliachiliwa huru akiwa na umri wa miaka 75 na hivyo kupunguza idadi ya watu hadi 35. Saifullah Paracha alirudishwa nyumbani katika nchi yake ya asili ya Pakistan katika wiki ya mwisho ya Oktoba 2022. Kuachiliwa huru huku kuliidhinishwa kwa msingi wa ukweli kwamba hakukuwa na ushahidi wowote wa kuzuiliwa kwake na kwamba hakuwezi kuwa na uhalali zaidi wa kumweka gerezani.

Soma zaidi...

Vifungu vya Tovuti

Viunganishi

Magharibi

Ardhi za Waislamu

Ardhi za Waislamu