Jumatatu, 30 Shawwal 1446 | 2025/04/28
Saa hii ni: (M.M.T)
Menu
Main menu
Main menu

Katiba za kutungwa na Wanadamu ni rahisi kukengeukwa na kubadilishwa

Mahakama ya Upeo imetoa uamuzi wa kuusambaratisha mradi wa ujenzi wa madaraja lakini ikafungua dirisha kwa vinara wa makubaliano ya ‘handshake’ kuanzisha marekebisho  mpya ya kikatiba. Kwenye uamuzi wake wa kihistoria, siku ya Alhamisi 31 Machi, 2022 jopo la majaji saba lilibatilisha hoja tano za mahakama ya rufaa zilizotumia kupinga mabadiliko ya kikatiba kama yalivyopendekezwa na mradi wa BBI.

Soma zaidi...

Mtoto Huyu Aliyeungua Anapenda Moto

Siku ya Pakistan iliadhimishwa mnamo Jumatano tarehe 23 Machi. Vikosi vya jeshi vilionyesha nguvu zao katika gwaride la kijeshi la kila mwaka jijini Islamabad huku viongozi wakuu walioshiriki katika Kikao cha 48 cha Baraza la Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) wakitazama kama wageni wa heshima.

Soma zaidi...

Vifungu vya Tovuti

Viunganishi

Magharibi

Ardhi za Waislamu

Ardhi za Waislamu