Huku Imran Khan Akiwa Ameivunja Migongo Yetu, Upinzani Hautaleta Mabadiliko Vilevile. Iondoeni Demokrasia na Msimamishe Khilafah
- Imepeperushwa katika Habari na Maoni
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Kabla ya hoja ya kutokuwa na imani na Waziri Mkuu Imran Khan, MNAs kadhaa wa PTI mnamo Alhamisi, 17 Machi 2022, walipatikana wakiishi katika Jumba la Sindh, lililoko katika eneo jekundu la mji mkuu wa jimbo hilo.