Ndoto za Mchana za Nidhamu ya Kidemokrasia
- Imepeperushwa katika Habari na Maoni
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Mnamo siku ya Jumatano tarehe 17/03/2021, John Magufuli (61) aliyekuwa Raisi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania alifariki dunia katika Hospitali ya Mzena jijini Dar es Salaam, na Mama Samia Suluhu Hassan (61) aliyekuwa Makamu wa Raisi aliapishwa kuwa Raisi mpya wa Tanzania Ijumaa ya tarehe 19/03/2021.