Mgogoro wa Msitu wa Mau: Usimamizi Mbaya wa Rasilimali za Kiasili wa Serikali za Kisekula za Kirasilimali
- Imepeperushwa katika Habari na Maoni
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Serikali imeanzisha oparesheni ya kuwafurusha zaidi ya watu 40,000 kutoka katika msitu wa Mau ambao ni beseni kubwa la maji nchini Kenya ulio na ukubwa wa hektea 273,300 (ekari 675,000).