Alhamisi, 26 Shawwal 1446 | 2025/04/24
Saa hii ni: (M.M.T)
Menu
Main menu
Main menu

Hizb ut Tahrir / Wilayah Tunisia: Kongamano la kila Mwaka la Khilafah: “Kufeli kwa Serikali ya Kisasa na Kutoepukika kwa Khilafah”

Hizb ut Tahrir / Wilayah Tunisia itafanya kongamano lake la kila mwaka la Khilafah siku ya Jumamosi, 26 Aprili 2025, katika makao makuu ya makongamano kwenye Makutano ya barabara ya Sakra katika mji mkuu, Tunis, chini ya kichwa: “Kufeli kwa Serikali ya Kisasa na Kutoepukika kwa Khilafah”

Soma zaidi...

Hizb ut Tahrir / Wilayah Pakistan: Kampeni ya “Majeshi na Yaelekee Al-Aqsa”

Kwa kuzingatia mauaji ya kikatili (mauaji ya halaiki) ambayo yamekuwa yakiendelea kwa zaidi ya miezi 18, yanayofanywa na umbile halifu la Kiyahudi dhidi ya Waislamu wasio na ulinzi katika Ukanda wa Gaza uliozingirwa, ambayo yamesababisha kuuawa shahidi, kujeruhiwa na kupotezwa zaidi ya wanaume na wanawake 170,000 wa Kiislamu hadi sasa, Hizb ut Tahrir / Wilaya ya Pakistan inaandaa msururu wa amali kwa kichwa: “Majeshi na Yaelekee Al-Aqsa”

Soma zaidi...

Hizb ut Tahrir / Wilayah Lebanon: Maandamano ya Tripoli: “Damu ya Gaza ni Damu Yetu, Enyi Majeshi ya Umma!”

zaidi ya miezi 18, yanayofanywa na umbile halifu la Kiyahudi dhidi ya Waislamu wasio na ulinzi katika Ukanda wa Gaza uliozingirwa, ambayo yamesababisha kuuawa shahidi, kujeruhiwa na kupotezwa kwa wanaume na wanawake wa Kiislamu zaidi ya elfu 170 hadi sasa, Hizb ut Tahrir/Wilayah Lebanon iliandaa maandamano ambayo yalizunguka mitaa ya Tripoli, Syria, chini ya kichwa: “Damu ya Gaza ni Damu Yetu, Enyi Majeshi ya Umma!”

Soma zaidi...

Hizb ut Tahrir / Wilayah Tunisia: Matembezi ya Ukombozi: “Gaza Inahitaji Majeshi Kuwapindua Watawala na Kutangaza Jihad”

Matembezi yalioandaliwa na Hizb ut Tahrir / Wilayah ya Tunisia yalitoka katika mji mkuu wa Tunis, baada ya swala ya Ijumaa, mnamo tarehe 13 Shawwal al-Khair 1446 H sawia na tarehe 11 Aprili 2025 M kuanzia Msikiti wa Al-Fath kunusuru watu wa Palestina na Msikiti wa Al-Aqsa ulio mateka, ambayo yaliitishwa na watu wa Zaytouna Tunisia chini ya kichwa: “Gaza Inahitaji Majeshi Kuwapindua Watawala na Kutangaza Jihad”

Soma zaidi...

Farauni wa Washington Afanya Maangamizu Makubwa Gaza, Kwa Usaidizi Kamili wa Viongozi wa Kijeshi na Kisiasa wa Waislamu na Mayahudi. Jibu Pekee la Kisharia ni Uhamasishaji wa Majeshi ya Waislamu. Enyi Waislamu! Songeni kwa ajili ya Faradhi ya Kishar

Bila jeshi hata moja la Waislamu kumzuia, Trump alitimiza ahadi yake ya kufanya maangamizi makubwa Gaza. Kamera zimenasa picha za sehemu za miili ya waumini zikipaa angani, juu ya majengo marefu, kutokana na kukithiri kwa mashambulizi ya makombora. Madaktari wa uokoaji wanafunikwa macho na kupigwa risasi. Watoto, wanawake, wazee na waliojeruhiwa wanauawa shahidi kwa kulipuliwa mahema yao. Sera ya njaa ya Amerika, iliyotekelezwa na wafuasi wake, umbile la Kiyahudi, imeongeza mateso hadi kiwango cha baa la njaa. Sasa imedhihirika kwa kila mtu kwamba Firauni wa Washington anafanya maangamizi makubwa kwa Gaza, kwa usaidizi kamili wa kijeshi na uongozi wa kisiasa wa Waislamu na Mayahudi.

Soma zaidi...

Hizb ut Tahrir / Wilayah Pakistan: Wito Uelekezwe kwa Kambi za Kijeshi na Ulinganizi wa Kuwaondoa Madarakani Watawala!

Mnamo tarehe 3 Aprili 2025, Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu ilitangaza kwamba “inalaani vikali uvamizi unaoendelea na unaozidi kuongezeka wa Israel.” Shirika hilo linajisifu kama “sauti inayounganisha ulimwengu wa Kiislamu.” Lakini watu wa Gaza hawahitaji “sauti,” bali vitendo kutoka kwa majeshi ya Waislamu.

Soma zaidi...

Hizb ut Tahrir / Wilayah Pakistan: Ushuru wa Trump Unasisitiza Haja ya Dharura ya kuwa na Uchumi Mmoja wa Kiislamu chini ya Kivuli cha Khilafah Rashida!

Sisi ni Umma wa watu bilioni mbili, na Pato la Taifa ni $8.7 trilioni na usawa wa nguvu ya ununuzi ya $26.4 trilioni. Tuna akiba kubwa zaidi ya nishati na madini ulimwenguni, na idadi kubwa vijana changamfu. Sehemu inayokosekana ya mlingano huo ni uongozi mnyoofu wa kisiasa, Khilafah Rashida. Swali pekee lililobaki ni: Je, tuko tayari kupambana na kujitahidi kusimamisha dini ya Mwenyezi Mungu ndani ya dola ya Khilafah?

Soma zaidi...

Vifungu vya Tovuti

Viunganishi

Magharibi

Ardhi za Waislamu

Ardhi za Waislamu