Katika Janga hili, Lazima tumtegemee Mwenyezi Mungu (swt), Tutafute rehma zake (swt), na Tukimbilie Kujisalimisha kwa Mwenyezi Mungu (swt)
- Imepeperushwa katika Bangladesh
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Bangladesh inakaribiwa kukabiliwa na janga kwani kuzuka kwa virusi vya korona, kumeanza kuleta uzito, watu wanamaliza siku zao kwa wasiwasi na kutokuwa na hakika