Ili kuwakomboa Waislamu wa Rohingya kutokana na Udhalimu wa Usekula, njia pekee ni kuwaweka chini ya Kivuli cha Khilafah
- Imepeperushwa katika Bangladesh
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Mamlaka za serikali ya Hasina hivi majuzi zimebomoa zaidi ya maduka 3000 ya Waislamu wa Rohingya katika kambi ya wakimbizi ya Kutupalong wilayani Cox's Bazar, na kuwaacha wakimbizi hao wasio na uwezo bila vyanzo vya mapato na mahitaji ya kila siku.