Onyo la Hasina na Mshauri wake wa Kawi kuhusu Baa la Njaa na Ukosefu wa Umeme linaonyesha kuwa Serikali yake inafilisika pamoja na Sera za Benki ya Dunia IMF
- Imepeperushwa katika Bangladesh
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Mara baada ya Sheikh Hasina kuwataka wananchi wajiandae kwa matumizi ya taa za kandili-karabai, ndipo mshauri wake wa masuala ya kawi Taufiq-e-Elahi akawashauri watu wachukue ahadi ya kutotumia umeme mchana.