Imetosha Sasa! Je! Kuna Yeyote wa Kutilia Maanani?!
- Imepeperushwa katika Iraq
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Janga jengine limeongezeka juu ya maelfu ya majanga ambayo yamekuwa kitovu cha maisha ya Wairaqi wenye msiba, baada ya moto kuzuka katika ukumbi wa matukio katika wilaya ya Hamdaniya yenye Wakristo wengi, katika Jimbo la Nineveh, na kuua zaidi ya watu mia na kujeruhi kadhaa.