Ramadhani Inapasa Kutuwezesha Kupata Daraja ya Juu Kabisa ya uchaji Mungu
- Imepeperushwa katika Kenya
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Kwa munasaba wa Mwezi wa Kheri wa Ramadhani, Chama cha Kisiasa cha Kiislamu Hizb ut Tahrir Kenya kina watakia Waislamu wote nchini Kenya na kote duniani kwa jumla Ramadhani Kareem na Saumu Maqbul.