Ni Serikali ya Uturuki ndiyo Inayoandaa Msingi wa Mashambulizi ya Kiubaguzi wa Rangi dhidi ya Wanawake na Watoto
- Imepeperushwa katika Kitengo cha Wanawake Afisi Kuu ya Habari
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Jioni ya 5 Oktoba 2019 mwanamume anayeitwa Nadir Kızılbulut alimpiga kinyama mtoto wa miaka 5 Msyria kwa msukumo wa kiubaguzi wa rangi.