Jumatano, 14 Shawwal 1447 | 2026/04/01
Saa hii ni: (M.M.T)
Menu
Main menu
Main menu

Wajumbe Jijini London Watembelea Misheni ya Kidiplomasia ya Waislamu ili Kuzihisabu Serikali kwa Kutochukua Hatua kwao Juu ya Ukaliwaji Kimabavu wa Palestina

Hizb ut Tahrir / Uingereza ilituma wajumbe kwa misheni ya kidiplomasia ya nchi za Waislamu ambazo hadi sasa zimepuuza kuchukua hatua kali kuwaokoa watu wa Gaza na kumaliza ukaliaji kimabavu wa Palestina. Wajumbe hao walitembelea Balozi zilizoko jijini London za Misri, Uturuki, Saudi Arabia na Pakistan kuwakumbusha jukumu lao kwa Ummah na wajibu wao kwa Mwenyezi Mungu (swt).

Soma zaidi...

Hizb ut Tahrir / Amerika: Amali Pana za Kuyataka Majeshi ya Waislamu Kuikomboa Al-Aqsa!

Hizb ut Tahrir / Amerika iliandaa amali pana katika miji mbali mbali kutoka Amerika Mashariki hadi Magharibi yake zikiyataka majeshi ya Waislamu kutaharaki kwa ajili ya kuwanusuru Waislamu wanyonge katika Ardhi Iliyobarikiwa (Palestina) na kuukomboa Msikiti uliobarikiwa wa Al-Aqsa na Palestina yote inayokaliwa kimabavu kuanzia mto wake hadi bahari yake kutokana na makucha ya Mayahudi wauaji wanyakuzi.

Soma zaidi...

Hizb ut Tahrir / Wilayah Afghanistan: Msururu wa Makongamano ya Kunusuru na Kuomba Nusra kwa ajili ya Ukombozi wa Msikiti wa Al-Aqsa!

Hizb ut Tahrir / Wilayah ya Afghanistan iliandaa msururu wa makongamano na amali kubwa zilizohudhuriwa na maelfu ya watetezi na waungaji mkono wanaotaka kutaharaki kwa majeshi ya Waislamu ili kuwanusuru Waislamu katika Ardhi Iliyobarikiwa (Palestina) na kuukomboa Msikiti wa Al-Aqsa na Palestina yote inayokaliwa kimabavu kuanzia mto wake hadi bahari yake kutokana na najisi ya Mayahudi wahalifu katili.

Soma zaidi...

Hizb ut Tahrir / Wilayah Lebanon: Kikao cha Kutafuta Nusra kwa ajili ya Watu wetu huko Gaza, na Kuyaomba Nusra Majeshi, na Kuyataka Yatangaze Jihad!

Kwa mwaliko kutoka kwa Hizb ut Tahrir/Wilayah Lebanon, Swala ya Ijumaa iliswaliwa pamoja na kikao cha utafutaji nusra katika "Uwanja wa Al-Nour" jijini Tripoli Al-Sham kwa kichwa "Nusra kwa watu wetu huko Gaza na kuyaomba nusra majeshi ya Umma na kuyataka kuvunja mipaka na kutangaza jihad.”

Soma zaidi...
Jiunge kwa hii RSS feed

Vifungu vya Tovuti

Viunganishi

Magharibi

Ardhi za Waislamu

Ardhi za Waislamu