Kudai kuachiliwa huru kwa Naveed Butt, ambaye alitekwa nyara tangu mwaka wa 2012 M kwa mujarad tu wa kutaka kwake kukombolewa kwa Pakistan kutokana na kutawaliwa na Marekani!
- Imepeperushwa katika Pakistan
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Sifa njema zote ni za Mwenyezi Mungu na rehma na amani zimshukie Mtume wa Mwenyezi Mungu (saw) na jamaa zake na maswahaba wake na wafuasi wake:
Hizb ut Tahrir / Denmark iliandaa kisimamo mbele ya Bunge la Denmark katika uwanja wa Christiansborg Castle Square cha kulaani mateso ya umwagaji damu ya India dhidi ya Waislamu na unafiki wa serikali ya Denmark.
Ee Mwenyezi Mungu, wasamehe watu wetu wa Gabes na uwe pamoja nao wala usiwe dhidi yao, Ee Mwenyezi Mungu, Ee Mwenyezi Mungu, ujaaliye moto huu uwe baridi na salama kwa watu wetu jijini Gabes.
Hizb ut-Tahrir / Wilayah Syria iliandaa maandamano katika kijiji cha Babika viungani mwa Aleppo, kisimamo kwa anwani “Mauaji ya Kitongoji cha Al-Tadhamun ni Mfano Mdogo wa Mauaji ya Suluhisho la Kisiasa la Amerika na Azimio 2254!”
Afisi Kuu ya Habari ya Hizb ut Tahrir: Pongezi za Wabebaji Dawah Kote Ulimwenguni kwa Ujio wa Idd ul Fitr Iliyobarikiwa 1443 H
Hizb ut Tahrir Wilayah ya Kenya imechapisha toleo jipya la Jarida la UQAB kwa ajili ya mwezi wa Mei 2022 M.
Katika muendelezo wa amali za umma zilizoandaliwa na Hizb ut Tahrir/Wilayah Sudan, ili kuuamsha Umma wa Kiislamu na kuimarisha azma yake ya kusimamisha Dola ya Khilafah Rashida upya,