Gazeti la Al-Raya: Vichwa Vikuu vya Toleo 333
- Imepeperushwa katika Al-Rayah
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Vichwa Vikuu vya Toleo 333
Vichwa Vikuu vya Toleo 333
Ufaransa ilipiga marufuku Niqab katika shule za umma mnamo 2004, sasa Bunge la Seneti la Ufaransa limepiga kura kupiga marufuku hijab kwa mtu yeyote chini ya umri wa miaka 18.
Abdullah ibn Umar (ra) amesimulia kwamba alimuona Mtume wa Mwenyezi Mungu (saw) akifanya Twawaf katika Ka'bah akisema,
Kwa kujisalimisha kwa amri ya Mwenyezi Mungu Subhanahu Wa Ta'ala na kuridhika na Qadhaa Yake, Hizb ut Tahrir / Wilayah ya Jordan inaomboleza kwa Umma wa Kiislamu kwa jumla, na kwa Amiri wa Hizb ut Tahrir, mwanachuoni mkubwa Ata Bin Khalil Abu Al- Rashtah, na kwa Shabab wa Hizb ut Tahrir haswa, mwanachama wa Hizb ut Tahrir, mbebaji mahiri wa Da'wah na mwanasiasa mkuu, Sheikh Yaseen Yousuf Zalloum (Abu Ammar), mmoja wa wanachama wa kizazi cha kwanza cha Hizb ut Tahrir, na kaka wa Amiri wa pili wa Hizb ut Tahrir,
“Mnamo 13 Machi 2021, Waziri wa Usalama wa Umma wa Sri Lanka, Sarath Weerasekera, alitangaza mipango ya kufunga zaidi ya Madrassa 1000 na kuwapiga marufuku wanawake wa Kiislamu kuvaa Burqa ambayo iliita kwa ujuha kuwa ni "alama ya msimamo mkali wa kidini".
Mapambano baina ya Haki na Batil yamekuwepo tokea Adam (as) alipoumbwa na yatakuwepo hadi Siku ya Hukumu.
Hizb ut-Tahrir / Wilayah ya Syria iliwasilisha waraka wake wa tatu wa kisiasa pamoja na ujio wa kumbukumbu ya miaka mia moja ya kuvunjwa kwa Khilafah kwa mikononi ya mhalifu Mustafa Kamal,
Saudi Arabia imetumia kwa uchache $ 1.5 bilioni kwa hafla za hali ya juu za michezo ya kimataifa kwa lengo la kuimarisha sura yake, ripoti mpya inafichua.
Kisimamo katika kijiji cha Sahara viungani mwa Aleppo kwa anwani "Ufunguaji wa Vivuko ni Usawazishaji Mahusiano Pamoja na Serikali"
Katika miaka 100 iliopita, ardhi za Waislamu hazikujua chochote isipokuwa kiza, vifo, maangamizi, ufukara na kukata tamaa. Mauwaji, mateso, ukandamizaji, ufidhuli na maafa yamefumwa kwenye msingi wa maisha ya watu katika eneo hili.