Jumatatu, 19 Shawwal 1447 | 2026/04/06
Saa hii ni: (M.M.T)
Menu
Main menu
Main menu

Tanzia ya Mbebaji Da’wah kutoka katika Kizazi cha Kwanza Sheikh Yaseen Yousuf Zalloum (Abu Ammar)

Kwa kujisalimisha kwa amri ya Mwenyezi Mungu Subhanahu Wa Ta'ala na kuridhika na Qadhaa Yake, Hizb ut Tahrir / Wilayah ya Jordan inaomboleza kwa Umma wa Kiislamu kwa jumla, na kwa Amiri wa Hizb ut Tahrir, mwanachuoni mkubwa Ata Bin Khalil Abu Al- Rashtah, na kwa Shabab wa Hizb ut Tahrir haswa, mwanachama wa Hizb ut Tahrir, mbebaji mahiri wa Da'wah na mwanasiasa mkuu, Sheikh Yaseen Yousuf Zalloum (Abu Ammar), mmoja wa wanachama wa kizazi cha kwanza cha Hizb ut Tahrir, na kaka wa Amiri wa pili wa Hizb ut Tahrir,

Soma zaidi...

Salaamedia – Redio ya Afrika Kusini: Serikali ya Sri Lanka Yatangaza Mipango ya Kufunga Zaidi ya Shule za Kiislamu 1000 na Kupiga Marufuku Burqa!

“Mnamo 13 Machi 2021, Waziri wa Usalama wa Umma wa Sri Lanka, Sarath Weerasekera, alitangaza mipango ya kufunga zaidi ya Madrassa 1000 na kuwapiga marufuku wanawake wa Kiislamu kuvaa Burqa ambayo iliita kwa ujuha kuwa ni "alama ya msimamo mkali wa kidini".

Soma zaidi...
Jiunge kwa hii RSS feed

Vifungu vya Tovuti

Viunganishi

Magharibi

Ardhi za Waislamu

Ardhi za Waislamu