Maadhimisho ya Miaka 100 ya Jeshi la Polisi la Tanzania Hakuna cha Kujivunia
- Imepeperushwa katika Tanzania
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Licha ya madai ya Polisi kuwa kazi yake ni kuhifadhi na kulinda maisha ya watu, mali na heshima kiuhalisia huu ni mwito mtupu ulio mbali na ukweli. Limenyanyasa wengi kwa jumla huku jamii ya Waislamu wakiwa ndio waathiriwa wakubwa zaidi.