Hadhramout Inahitaji Dola yenye Kusimamia Uislamu, Sio Kujitawala Yenyewe
- Imepeperushwa katika Yemen
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Mwishoni mwa Juni 2023, Mkuu wa Baraza la Rais nchini Yemen, Rashad Al-Alimi, alitangaza rasmi kuidhinisha kujitawala wenyewe kwa Jimbo la Hadhramout na akaahidi kujumlisha uzoefu huu kwa majimbo yote.